35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.
24Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.