Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 22:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Lakini malaika wa Yehova akamwambia Balaamu: “Nenda pamoja na wanaume hao;+ nawe hutasema lolote isipokuwa lile neno nitakalokuambia.”+ Naye Balaamu akaendelea kwenda pamoja na wakuu wa Balaki.

  • Hesabu 23:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Basi Yehova akatia neno katika kinywa cha Balaamu+ na kusema: “Rudi kwa Balaki, na hili ndilo utakalosema.”+

  • Hesabu 24:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Balaamu alipoona kwamba ilikuwa vema machoni pa Yehova kubariki Israeli, hakuenda kama zile mara nyingine+ na kutafuta ishara zozote za bahati mbaya,+ bali alielekeza uso wake nyikani.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki