Mwanzo 49:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Kutoka Asheri mkate wake utakuwa mnono,+ naye atatoa vitu bora vya mfalme.+ Kumbukumbu la Torati 33:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+
24 Naye akamwambia Asheri:+“Aliyebarikiwa na wana ni Asheri.+Na awe aliyekubaliwa na ndugu zake,+Na yule anayechovya mguu wake katika mafuta.+