28 Nawe umpe Yoshua utume+ na kumtia moyo na kumwimarisha, kwa maana yeye ndiye atakayevuka+ mbele ya watu hawa naye ndiye atakayewafanya warithi nchi utakayoiona.’+
23 Naye akampa utume Yoshua mwana wa Nuni+ na kusema: “Uwe hodari na mwenye nguvu,+ kwa sababu wewe—wewe utawaingiza wana wa Israeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ na mimi mwenyewe nitaendelea kuwa pamoja nawe.”