3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
22 Hakuna dhabihu yoyote iliyo na upofu au mvunjiko au mkato au chunjua au vigaga au mba,+ yeyote kati ya hao msimtolee Yehova, wala hakuna toleo lolote linalotolewa kwa njia ya moto+ kutoka kati ya hao mtakaloweka juu ya madhabahu ya Yehova.