3 “‘Ikiwa toleo lake ni toleo la kuteketezwa+ kutoka katika mifugo, atamtoa dume, asiye na kasoro.+ Atamtoa kwenye mwingilio wa hema la mkutano kwa hiari yake mwenyewe mbele za Yehova.+
8 Nanyi mtamtolea Yehova toleo la kuteketezwa, lenye harufu ya kutuliza, ng’ombe-dume mmoja mchanga, kondoo-dume mmoja, wana-kondoo dume saba kila mmoja akiwa na umri wa mwaka mmoja.+ Watakuwa wasio na kasoro kwa ajili yenu.+