7 Basi wanaume wazee wa Moabu na wanaume wazee wa Midiani wakasafiri wakiwa na malipo ya uaguzi+ mikononi mwao nao wakaenda kwa Balaamu+ na kumwambia maneno ya Balaki.
18 kwa sababu wanawasumbua ninyi kwa matendo yao ya ujanja+ ambayo wamewatendea ninyi kwa ujanja katika lile jambo la Peori+ na katika lile jambo la Kozbi+ binti ya mkuu wa Midiani, dada yao ambaye alipigwa na kuuawa+ katika ile siku ya tauni kuhusu lile jambo la Peori.”+
14 “ ‘Hata hivyo, nina mambo machache dhidi yako, kwamba unao hapo wale wanaolishika sana fundisho la Balaamu,+ aliyemfundisha Balaki+ kuweka kikwazo mbele ya wana wa Israeli, ili wale vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu na kufanya uasherati.+