24 Ndipo Israeli akampiga kwa makali ya upanga+ na kuitwaa nchi+ yake kutoka Arnoni+ hadi Yaboki,+ karibu na wana wa Amoni; kwa sababu Yazeri+ ndio mpaka wa wana wa Amoni.+
24 “‘Ondokeni, mshike njia na kuvuka bonde la mto la Arnoni.+ Tazama, nimemtia mkononi mwako Sihoni+ mfalme wa Heshboni, yule Mwamori. Kwa hiyo anza kumiliki nchi yake, na kupigana vita naye.
18 “Basi nikawaamuru ninyi wakati huo, na kusema, ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mpate kuimiliki. Mtavuka, mkiwa tayari na silaha, mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, wanaume wote mashujaa.+