34 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyopiga kambi kwa migawanyo yao ya makabila matatu,+ na hivyo ndivyo walivyoondoka,+ kila mmoja kwa familia zake kulingana na nyumba ya baba zake.