Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Na wale wanaopiga kambi upande wa mashariki kuelekea mapambazuko ya jua watakuwa mgawanyo wa makabila matatu ya kambi ya Yuda kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Yuda ni Nashoni+ mwana wa Aminadabu.

  • Hesabu 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Ule mgawanyo wa makabila matatu wa Rubeni+ utakuwa kuelekea kusini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Rubeni ni Elisuri+ mwana wa Shedeuri.

  • Hesabu 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Efraimu+ kwa majeshi yao utakuwa kuelekea magharibi, na mkuu wa wana wa Efraimu ni Elishama+ mwana wa Amihudi.

  • Hesabu 2:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “Mgawanyo wa makabila matatu wa kambi ya Dani utakuwa kuelekea kaskazini kwa majeshi yao, na mkuu wa wana wa Dani ni Ahiezeri+ mwana wa Amishadai.

  • Hesabu 2:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na wana wa Israeli wakafanya kulingana na yote ambayo Yehova alikuwa amemwamuru Musa.+ Hivyo ndivyo walivyopiga kambi kwa migawanyo yao ya makabila matatu,+ na hivyo ndivyo walivyoondoka,+ kila mmoja kwa familia zake kulingana na nyumba ya baba zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki