Kutoka 30:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja. Kumbukumbu la Torati 33:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+
34 Naye Yehova akaendelea kumwambia Musa: “Jichukulie manukato:+ matone ya natafi na shekelethi na kelbena iliyotiwa manukato na ubani+ safi. Kutakuwa na kipimo kimoja cha kila moja.
10 Na wamfundishe Yakobo hukumu zako+Na Israeli sheria yako.+Na watoe uvumba mbele za mianzi ya pua yako+Na toleo zima kwenye madhabahu yako.+