Mambo ya Walawi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake. Hesabu 15:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 mtu atatoa pia pamoja na yule dume wa mifugo, toleo la nafaka+ la sehemu tatu za kumi za unga laini, uliotiwa nusu hini ya mafuta.
2 “‘Sasa ikiwa nafsi fulani itamtolea Yehova toleo la nafaka,+ toleo lake litakuwa la unga laini;+ naye atamimina mafuta juu yake na kutia ubani juu yake.
9 mtu atatoa pia pamoja na yule dume wa mifugo, toleo la nafaka+ la sehemu tatu za kumi za unga laini, uliotiwa nusu hini ya mafuta.