Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 6:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “‘Hii ndiyo sheria ya toleo la nafaka:+ Ninyi wana wa Haruni, litoeni mbele za Yehova mbele ya madhabahu.

  • Mambo ya Walawi 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Hii ndiyo sheria inayohusu toleo la kuteketezwa,+ toleo la nafaka+ na toleo la dhambi+ na toleo la hatia+ na dhabihu ya kuweka rasmi+ na dhabihu ya ushirika,+

  • Hesabu 28:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 na vipimo vitatu vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka+ lililotiwa mafuta kwa ajili ya kila ng’ombe-dume na vipimo viwili vya sehemu ya kumi ya unga laini ukiwa toleo la nafaka lililotiwa mafuta kwa ajili ya kondoo-dume mmoja,+

  • Hesabu 29:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 mbali na lile toleo la kuteketezwa+ la kila mwezi na toleo lake la nafaka+ na lile toleo la kuteketezwa la daima+ na toleo lake la nafaka,+ pamoja na matoleo yake ya kinywaji,+ kulingana na utaratibu wa kawaida kwa ajili yake, kuwa harufu ya kutuliza, toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 21:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini Ornani akamwambia Daudi: “Uchukue uwe wako,+ na bwana wangu mfalme afanye lililo jema machoni pake mwenyewe. Tazama, natoa ng’ombe+ kwa ajili ya matoleo ya kuteketezwa na chombo cha kupuria+ kwa ajili ya kuni+ na ngano kuwa toleo la nafaka. Natoa vyote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki