18 Nao wakakutanisha kusanyiko lote katika siku ya kwanza ya mwezi wa pili, ili uzao+ wao utambuliwe kwa habari ya familia zao katika nyumba ya baba zao, kulingana na hesabu ya majina, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi,+ kichwa kwa kichwa kati yao,
5 Tangazeni jambo hilo katika Yuda, na kulihubiri hata katika Yerusalemu,+ na mliseme, na kupiga baragumu katika nchi yote.+ Iteni kwa sauti na kusema: “Jikusanyeni pamoja, nasi tuingie katika majiji yenye ngome.+