Kutoka 23:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake. Hesabu 16:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 “Jitengeni+ wenyewe kutoka katikati ya kusanyiko hili, nipate kuwaangamiza+ wao mara moja.” 1 Wakorintho 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wala tusiwe wanung’unikaji, kama baadhi yao walivyonung’unika,+ na kuangamizwa na mwangamizaji.+
21 Jiangalie kwa sababu yake na kuitii sauti yake. Usijiendeshe kwa kumwasi yeye, kwa maana hatawasamehe kosa lenu;+ kwa sababu jina langu limo ndani yake.