Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 35:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na majiji hayo yatatumika kwenu yakiwa makimbilio ili kumkimbia mlipiza-kisasi cha damu,+ kusudi muuaji asife mpaka asimame mbele ya kusanyiko kwa ajili ya hukumu.+

  • Hesabu 35:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “‘Mlipiza-kisasi+ cha damu ndiye atakayemuua huyo muuaji wa kukusudia. Hapo atakapokutana naye atamuua.

  • Yoshua 20:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Na mlipiza-kisasi cha damu akimfuatilia, basi wao hawapaswi kumtia muuaji huyo mkononi mwake;+ kwa maana alimpiga akamuua mwenzake bila kujua, wala hakuwa akimchukia hapo zamani.+

  • 2 Samweli 14:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na tazama, familia yote wamesimama juu ya mjakazi wako, nao wanaendelea kusema, ‘Mtoe yule aliyempiga ndugu yake, ili tumuue kwa sababu ya nafsi ya ndugu+ yake aliyemuua,+ nasi tumwangamize hata mrithi!’ Nao hakika watazima mng’ao wa makaa yangu ambao umebaki, naye mume wangu hatakuwa na jina wala baki juu ya uso wa nchi.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki