Kumbukumbu la Torati 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Ayubu 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna wale wanaosogeza nyuma alama za mipaka;+Wamenyakua kundi, ili walichunge. Methali 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+
17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+