Kumbukumbu la Torati 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki. Kumbukumbu la Torati 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Methali 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+ Hosea 5:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wakuu wa Yuda wamekuwa kama watu wanaosogeza nyuma mpaka.+ Nitamwaga ghadhabu yangu kama maji juu yao.
14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki.
17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)
10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+
10 Wakuu wa Yuda wamekuwa kama watu wanaosogeza nyuma mpaka.+ Nitamwaga ghadhabu yangu kama maji juu yao.