Kumbukumbu la Torati 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki. Kumbukumbu la Torati 27:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’) Ayubu 24:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kuna wale wanaosogeza nyuma alama za mipaka;+Wamenyakua kundi, ili walichunge. Methali 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale, uliowekwa na mababu zako.+
14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki.
17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)