Kumbukumbu la Torati 19:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki. Methali 22:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale, uliowekwa na mababu zako.+ Methali 23:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+
14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki.
10 Usiusogeze nyuma mpaka wa zamani za kale,+ wala usiingie katika shamba la wavulana wasio na baba.+