Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Usisogeze nyuma alama za mpaka wa mwenzako,+ wakati ambapo mababu watakuwa wameweka mipaka katika urithi wako ambao utarithi katika nchi ambayo Yehova Mungu wako anakupa wewe uimiliki.

  • Kumbukumbu la Torati 27:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 “‘Amelaaniwa yule ambaye huisogeza nyuma alama ya mpaka wa mwenzake.’+ (Nao watu wote watajibu na kusema, ‘Amina!’)

  • Ayubu 24:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Kuna wale wanaosogeza nyuma alama za mipaka;+

      Wamenyakua kundi, ili walichunge.

  • Hosea 5:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wakuu wa Yuda wamekuwa kama watu wanaosogeza nyuma mpaka.+ Nitamwaga ghadhabu yangu kama maji juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki