21 Ndipo watu wote wa jiji watampiga kwa mawe, naye lazima afe. Kwa hiyo mtaondolea mbali kilicho kibaya kutoka kati yenu, na Israeli wote watasikia na kuogopa kwelikweli.+
7 “Ikiwa mtu atapatikana akiteka nyara+ nafsi ya ndugu zake wa wana wa Israeli, naye amemtendea kwa uonevu na kumuuza,+ mteka-nyara huyo lazima afe. Nawe lazima uondolee mbali lililo baya kutoka katikati yako.+