Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Nao wakamletea Musa na Eleazari kuhani na kusanyiko la wana wa Israeli mateka na nyara na vitu vilivyoporwa, mpaka kambini, mpaka nchi tambarare za jangwa la Moabu,+ kando ya Yordani huko Yeriko.

  • Hesabu 31:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Nawe utagawa nyara katika sehemu mbili kati ya wale walioshiriki katika pigano ambao walitoka nje kufunga safari na wale wengine wote wa kusanyiko.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na Asa na watu waliokuwa pamoja naye wakaendelea kuwafuatilia mpaka Gerari,+ na walio wa Waethiopia wakaendelea kuanguka mpaka wakati ambapo hapakuwa na yeyote aliye hai kati yao; kwa maana walivunjwa vipande-vipande mbele za Yehova+ na mbele ya jeshi lake.+ Baadaye wakachukua kiasi kikubwa sana cha nyara.+

  • Zaburi 68:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Hata wafalme wa majeshi wanakimbia, naam, wanakimbia.+

      Lakini mwanamke anayekaa nyumbani, hugawa nyara.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki