Zaburi 9:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+ Methali 28:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Mtu aliyelemewa na hatia ya damu ya nafsi atalikimbilia shimo.+ Watu wasimzuie. Isaya 26:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+
12 Kwa maana, wakati wa kutafuta umwagikaji wa damu,+ hakika atawakumbuka hao;+Hakika yeye hatakisahau kilio cha wenye kuteseka.+
21 Kwa maana, tazama! Yehova anakuja kutoka mahali pake ili kulitoza hesabu kosa la mkaaji wa nchi juu yake,+ na nchi hakika itafunua umwagaji wake wa damu+ wala haitawafunika tena watu wake waliouawa.”+