Hesabu 13:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+ Kumbukumbu la Torati 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 (Waemi+ walikaa humo nyakati za kale, watu wakubwa na wengi sana na warefu kama Waanaki.+ Kumbukumbu la Torati 9:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’
33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+
2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’