Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 13:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na humo tuliwaona Wanefili, wana wa Anaki,+ waliotoka kwa Wanefili; hivi kwamba sisi tukawa machoni petu wenyewe kama panzi, na machoni pao sisi tukawa vivyo hivyo.”+

  • Kumbukumbu la Torati 2:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 (Waemi+ walikaa humo nyakati za kale, watu wakubwa na wengi sana na warefu kama Waanaki.+

  • Kumbukumbu la Torati 9:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 watu wakubwa na warefu, wana wa Waanaki,+ ambao umejua na kusikia ikisemwa juu yao, ‘Ni nani anayeweza kusimama imara mbele ya wana wa Anaki?’

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki