11 “Wewe kwa upande wako shika ninalokuamuru leo.+ Tazama, ninawafukuza toka mbele yako Waamori na Wakanaani na Wahiti na Waperizi na Wahivi na Wayebusi.+
23 Yehova pia atayafukuzia mbali mataifa yote haya kwa sababu yenu,+ nawe hakika utayafukuza mataifa yaliyo makubwa zaidi na yenye watu wengi zaidi kuliko wewe.+