10 “Na itatukia kwamba Yehova Mungu wako atakapokuleta katika nchi ambayo aliwaapia mababu zako Abrahamu, Isaka na Yakobo, kwamba atakupa,+ majiji makubwa na yenye kupendeza ambayo wewe hukuyajenga,+
14 Na wana wa Israeli wakapora kwa ajili yao wenyewe nyara zote za majiji hayo na wanyama wa kufugwa.+ Walipiga kwa makali ya upanga binadamu wote peke yao, mpaka walipokuwa wamewaangamiza.+ Hawakuacha yeyote anayepumua abaki.+