18 “Basi nikawaamuru ninyi wakati huo, na kusema, ‘Yehova Mungu wenu amewapa nchi hii mpate kuimiliki. Mtavuka, mkiwa tayari na silaha, mbele ya ndugu zenu, wana wa Israeli, wanaume wote mashujaa.+
8 Nao maofisa watazidi kusema na watu na kuwaambia, ‘Ni nani mwoga na mwenye moyo dhaifu?+ Na aende na kurudi nyumbani kwake, asije akasababisha mioyo ya ndugu zake iyeyuke kama moyo wake mwenyewe.’+
34 wakazuia nguvu za moto,+ wakaponyoka makali ya upanga,+ kutoka hali ya udhaifu wakafanywa kuwa wenye nguvu,+ wakawa mashujaa katika vita,+ wakayashinda kabisa majeshi ya wageni.+