6 Nao watatoka nje watufuate mpaka tutakapokuwa tumewavuta mbali na jiji hilo, kwa maana watasema, ‘Wanakimbia mbele yetu kama walivyofanya pale mwanzoni.’+ Nasi tutakimbia mbele yao.
16Na kura+ ya wana wa Yosefu+ ikawa kutoka Yordani+ huko Yeriko hadi kwenye maji ya Yeriko upande wa mashariki, nyika inayopanda kutoka Yeriko hadi katika eneo lenye milima la Betheli.+
12 Na mpaka wao ukawa katika pembe ya kaskazini kutoka Yordani, na mpaka huo ukapanda hadi kwenye mteremko wa Yeriko+ upande wa kaskazini na kupanda kwenye mlima upande wa magharibi, na mwisho wake ukawa katika nyika ya Beth-aveni.+