Mwanzo 49:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+ 2 Samweli 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+ Zaburi 18:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo zao;+Nao wale wanaonichukia vikali, nitawanyamazisha.+
8 “Yuda,+ nawe, ndugu zako watakusifu.+ Mkono wako utakuwa katika kikosi cha adui zako.+ Wana wa baba yako watajilaza kifudifudi mbele yako.+
41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+
40 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo zao;+Nao wale wanaonichukia vikali, nitawanyamazisha.+