Kumbukumbu la Torati 29:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Mwishowe mkaja mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu+ mfalme wa Bashani wakatoka kukutana nasi katika pigano, lakini tukawashinda.+ Yoshua 9:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 na yote ambayo aliwatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ mfalme wa Heshboni na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa katika Ashtarothi.+
7 Mwishowe mkaja mahali hapa, na Sihoni mfalme wa Heshboni+ na Ogu+ mfalme wa Bashani wakatoka kukutana nasi katika pigano, lakini tukawashinda.+
10 na yote ambayo aliwatendea wale wafalme wawili wa Waamori waliokuwa ng’ambo ile nyingine ya Yordani, yaani, Sihoni+ mfalme wa Heshboni na Ogu+ mfalme wa Bashani, aliyekuwa katika Ashtarothi.+