Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na Aini+ na kiwanja chake cha malisho, na Yuta+ na kiwanja chake cha malisho, Beth-shemeshi+ na kiwanja chake cha malisho; majiji tisa yalichukuliwa kutoka katika makabila hayo mawili.

  • 1 Samweli 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na wale ng’ombe wakaanza kwenda mbele moja kwa moja kwenye barabara inayoelekea Beth-shemeshi.+ Wakaenda katika ile njia kuu moja, huku wakilia wakiwa wanaenda, nao hawakugeuka kando upande wa kuume wala wa kushoto. Wakati huohuo wale wakuu wa muungano+ wa Wafilisti walikuwa wakitembea nyuma yao hadi kwenye mpaka wa Beth-shemeshi.

  • 2 Wafalme 14:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na Amazia hakusikiliza.+

      Basi Yehoashi mfalme wa Israeli akapanda, nao wakatazamana uso kwa uso,+ yeye na Amazia mfalme wa Yuda, kule Beth-shemeshi,+ ya Yuda.

  • 1 Mambo ya Nyakati 6:59
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 59 na Ashani+ pamoja na viwanja vyake vya malisho na Beth-shemeshi+ pamoja na viwanja vyake vya malisho;

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki