11Na ikawa kwamba mara tu Yabini mfalme wa Hasori aliposikia habari hizo, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni+ na kwa mfalme wa Shimroni na mfalme wa Akshafi,+
10 Tena Yoshua akageuka wakati huo+ na kuteka Hasori;+ akampiga na kumuua mfalme wake kwa upanga,+ kwa sababu kabla ya wakati huo, Hasori lilikuwa ndilo kichwa cha falme hizo zote.
2 Basi Yehova akawauza+ mkononi mwa Yabini mfalme wa Kanaani, aliyetawala katika Hasori;+ na mkuu wa jeshi lake alikuwa ni Sisera,+ naye alikuwa anakaa Haroshethi+ ya mataifa.
9 Nao wakamsahau Yehova, Mungu wao,+ naye akawauza+ mkononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa mfalme wa Moabu,+ nao wakaendelea kupiga vita juu yao.