Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 11:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Na ikawa kwamba mara tu Yabini mfalme wa Hasori aliposikia habari hizo, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni+ na kwa mfalme wa Shimroni na mfalme wa Akshafi,+

  • Yoshua 11:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tena Yoshua akageuka wakati huo+ na kuteka Hasori;+ akampiga na kumuua mfalme wake kwa upanga,+ kwa sababu kabla ya wakati huo, Hasori lilikuwa ndilo kichwa cha falme hizo zote.

  • Waamuzi 4:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Basi Yehova akawauza+ mkononi mwa Yabini mfalme wa Kanaani, aliyetawala katika Hasori;+ na mkuu wa jeshi lake alikuwa ni Sisera,+ naye alikuwa anakaa Haroshethi+ ya mataifa.

  • 1 Samweli 12:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nao wakamsahau Yehova, Mungu wao,+ naye akawauza+ mkononi mwa Sisera+ mkuu wa jeshi la Hasori na mkononi mwa Wafilisti+ na mkononi mwa mfalme wa Moabu,+ nao wakaendelea kupiga vita juu yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki