19 Na ikawa kwamba mwamuzi huyo alipokufa, walikuwa wakigeuka na kutenda kwa njia ya uharibifu hata zaidi ya baba zao kwa kufuata miungu mingine ili kuitumikia na kuiinamia.+ Hawakujiepusha na matendo yao na tabia yao ya ukaidi.+
4 “Nitakufanyia nini, Ee Efraimu? Nitakufanyia nini, Ee Yuda,+ wakati fadhili zenu zenye upendo ni kama mawingu ya asubuhi na kama umande ambao hutoweka mapema?