14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka juu ya Israeli,+ akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakaanza kuwapora;+ naye akawauza mkononi mwa adui zao waliowazunguka pande zote,+ wala hawakuweza tena kusimama mbele ya adui zao.+
11 Yesu akamjibu: “Wewe hungekuwa na mamlaka hata kidogo juu yangu kama usingepewa kutoka juu.+ Ndiyo sababu mtu aliyenitia mikononi mwako ana dhambi kubwa zaidi.”