Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 20:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Basi wakayapa hali ya utakatifu majiji ya Kedeshi+ katika Galilaya katika eneo lenye milima la Naftali, na Shekemu+ katika eneo lenye milima la Efraimu, na Kiriath-arba,+ yaani, Hebroni, katika eneo lenye milima la Yuda.

  • Yoshua 21:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Na kutoka katika kabila la Naftali,+ jiji la makimbilio+ kwa ajili ya muuaji,+ yaani, jiji la Kedeshi+ katika Galilaya, na kiwanja chake cha malisho, na Hamoth-dori+ na kiwanja chake cha malisho, na Kartani na kiwanja chake cha malisho; majiji matatu.

  • Waamuzi 4:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Naye akatuma ujumbe kumwita Baraka+ mwana wa Abinoamu kutoka Kedesh-naftali,+ akamwambia: “Je, Yehova Mungu wa Israeli hakutoa amri? ‘Nenda, usambae katika Mlima Tabori,+ nawe uchukue wanaume elfu kumi kutoka kwa wana wa Naftali+ na kutoka kwa wana wa Zabuloni.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki