9 Basi yule nabii akasema: “Hakika nitaenda pamoja nawe. Hata hivyo, kile kitu cha kurembesha hakitakuwa chako katika njia unayoiendea, kwa kuwa Yehova atamuuza Sisera katika mkono wa mwanamke.”+ Ndipo Debora akasimama, akaenda pamoja na Baraka mpaka Kedeshi.+