11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
14 Ndipo Yehova akamtazama na kusema: “Nenda katika nguvu zako hizi,+ nawe hakika utawaokoa Israeli kutoka katika mkono wa Midiani.+ Je, si mimi ninayekutuma?”+