33 Na ikawa kwamba mara tu Gideoni alipokufa, wana wa Israeli wakaanza tena kufanya uasherati na Mabaali,+ nao wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.+
4 Ndipo wakampa vipande 70 vya fedha kutoka katika nyumba ya Baal-berithi,+ kisha Abimeleki akavitumia kukodisha watu wazembe na wenye dharau,+ ili wafuatane naye.
27 Nao wakatoka kwenda shambani kama kawaida, wakakusanya zabibu za mashamba yao na kuzikanyaga na kusherehekea kwa furaha,+ kisha wakaingia katika nyumba ya mungu wao,+ wakala na kunywa+ na kumlaani+ Abimeleki.