1 Samweli 14:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+ Methali 25:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Je, umepata asali?+ Kula kiasi cha kukutosha, ili usiile kupita kiasi kisha uitapike.+
27 Lakini Yonathani hakusikia wakati baba yake alipowaapisha watu,+ kwa hiyo akanyoosha ncha ya fimbo iliyokuwa mkononi mwake, akaichovya ndani ya lile sega la asali na kuurudisha mkono wake kinywani pake, na macho yake yakaanza kung’aa.+