4 Lakini baba yake na mama yake hawakujua kwamba jambo hilo lilitoka kwa Yehova,+ kwamba alikuwa akitafuta nafasi ya kuwapiga Wafilisti, kwa kuwa wakati huo hasa Wafilisti walikuwa wakitawala juu ya Israeli.+
5 Ndipo akaiwasha moto ile mienge na kuwapeleka mbweha hao katika mashamba ya Wafilisti ya nafaka inayosimama. Basi akawasha moto kila kitu kuanzia mganda mpaka nafaka inayosimama na mashamba ya mizabibu na mashamba ya mizeituni.+