Zaburi 138:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+ Waroma 8:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+ 1 Petro 5:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 huku mkitupa mahangaiko+ yenu yote juu yake, kwa sababu yeye anawajali ninyi.+
8 Yehova mwenyewe atayamalizia mambo yaliyoko kwa ajili yangu.+Ee Yehova, fadhili zako zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo.+Usiziache kazi za mikono yako mwenyewe.+
28 Basi tunajua kwamba Mungu hufanya kazi+ zake zote zishirikiane pamoja kwa ajili ya mema ya wale wanaompenda Mungu, wale ambao wameitwa kulingana na kusudi lake;+