Hesabu 21:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ole wako, Moabu! Hakika mtaangamia, enyi watu wa Kemoshi!+Hakika atawafanya wanawe kama watu walioponyoka na binti zake kuwa utekwani mkononi mwa mfalme wa Waamori, Sihoni. Zaburi 96:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+ 1 Wakorintho 8:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+ 2 Petro 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Neno la methali ya kweli limewapata: “Mbwa+ ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa katika matope.”+
29 Ole wako, Moabu! Hakika mtaangamia, enyi watu wa Kemoshi!+Hakika atawafanya wanawe kama watu walioponyoka na binti zake kuwa utekwani mkononi mwa mfalme wa Waamori, Sihoni.
5 Kwa maana miungu yote ya vikundi vya watu ni miungu isiyo na thamani;+Lakini Yehova, amezifanya mbingu.+
5 Kwa maana hata ingawa kuna wale wanaoitwa “miungu,”+ iwe wako mbinguni+ au duniani,+ kama vile kulivyo na “miungu” mingi na “mabwana” wengi,+
22 Neno la methali ya kweli limewapata: “Mbwa+ ameyarudia matapiko yake mwenyewe, na nguruwe aliyeoshwa amerudi kugaagaa katika matope.”+