7 Nami, nilipokuwa nikija kutoka Padani,+ Raheli alikufa+ kando yangu njiani katika nchi ya Kanaani wakati kulipokuwa kungali mwendo mkubwa kabla ya kufika Efrathi,+ basi nikamzika huko kwenye njia ya kwenda Efrathi, yaani, Bethlehemu.”+
12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrathi+ kutoka Bethlehemu ya Yuda ambaye jina lake lilikuwa Yese. Naye alikuwa na wana wanane.+ Na katika siku za Sauli mtu huyo alikuwa tayari ni mzee kati ya watu.