Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Atachukua sehemu ya kumi kutoka makundi+ yenu, nanyi mtakuwa watumishi wake.

  • 1 Samweli 11:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Lakini tazama, Sauli akija nyuma ya mifugo yake kutoka shambani, naye Sauli akasema: “Watu wana nini, kwamba walie?” Wakaanza kumsimulia maneno ya wale watu wa Yabeshi.

  • 1 Mambo ya Nyakati 27:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Na juu ya mifugo iliyokuwa ikilisha katika Sharoni+ kulikuwa na Shitrai Msharoni; na juu ya mifugo katika nchi tambarare za chini kulikuwa na Shafati mwana wa Adlai.

  • 2 Mambo ya Nyakati 26:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Tena akajenga minara+ nyikani, na kuchimba matangi mengi ya maji (kwa maana alikuwa na mifugo mingi sana), na pia katika Shefela+ na katika nchi tambarare ya juu. Palikuwa na wakulima na watunza-mizabibu katika milima na katika Karmeli, kwa maana alipenda kilimo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki