Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Ndipo Sauli akasema: “Mungu na afanye hivyo naye azidishe hilo,+ ikiwa hutakufa hakika,+ Yonathani.”

  • 1 Samweli 20:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+

  • Methali 28:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Watu wenye mwelekeo wa ubaya hawawezi kuelewa hukumu, lakini wale wanaomtafuta Yehova wanaweza kuelewa kila jambo.+

  • Methali 28:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki