1 Samweli 14:44 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ndipo Sauli akasema: “Mungu na afanye hivyo naye azidishe hilo,+ ikiwa hutakufa hakika,+ Yonathani.” 1 Samweli 20:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+ Methali 28:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Watu wenye mwelekeo wa ubaya hawawezi kuelewa hukumu, lakini wale wanaomtafuta Yehova wanaweza kuelewa kila jambo.+ Methali 28:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+
44 Ndipo Sauli akasema: “Mungu na afanye hivyo naye azidishe hilo,+ ikiwa hutakufa hakika,+ Yonathani.”
31 Kwa maana siku zote ambazo mwana wa Yese atakuwa hai katika nchi, wewe na ufalme wako hutasimama imara.+ Basi sasa tuma watu umlete kwangu, kwa maana amekusudiwa kufa.”+
5 Watu wenye mwelekeo wa ubaya hawawezi kuelewa hukumu, lakini wale wanaomtafuta Yehova wanaweza kuelewa kila jambo.+
15 Kama simba anayenguruma na dubu anayekimbia ili kushambulia ndivyo alivyo mtu mwovu anayetawala watu wa hali ya chini.+