Danieli 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+ Luka 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+
5 Mfalme Belshaza+ naye alifanya karamu kwa ajili ya wakuu wake elfu, naye akanywa divai mbele ya hao elfu.+
19 nami nitaiambia+ nafsi yangu: “Nafsi yangu, una vitu vyema vingi vilivyokusanywa kwa miaka mingi; starehe, ule, unywe, na kujifurahisha.” ’+