15 Naye atakurudishia nafsi yako na kukutunza katika uzee+ wako, kwa sababu binti-mkwe wako anayekupenda,+ ambaye ni bora kwako kuliko wana saba,+ amemzaa huyo.”
6 “Nitie kama muhuri juu ya moyo wako,+ kama muhuri juu ya mkono wako; kwa maana upendo una nguvu kama kifo,+ msisitizo juu ya kujitoa kikamili+ ni wenye kudai kama Kaburi.* Miwako yake ni miwako ya moto, mwali wa moto wa Yah.+