4 Hata uzeeni mwa mtu mimi ni Yeye yuleyule;+ na hata wakati wa kichwa chenye mvi cha mtu nitaendelea kubeba.+ Mimi mwenyewe hakika nitatenda,+ ili mimi mwenyewe nichukue na ili mimi mwenyewe nibebe na kuponyosha.+
6 Zaidi ya hayo, bila imani+ haiwezekani kamwe kumpendeza vema,+ kwa maana yule anayemkaribia Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko+ na kwamba yeye huwa mthawabishaji+ wa wale wanaomtafuta kwa bidii.+