Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 9:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 tazama! mkono wa Yehova+ utakuja juu ya mifugo+ yako iliyo shambani. Kutakuwa na tauni kali sana+ juu ya farasi, punda, ngamia, mifugo na makundi.

  • 1 Samweli 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na ikawa kwamba walipokuwa wamezunguka kulileta huko, mkono wa Yehova+ ukaja kuwa juu ya jiji hilo na kuleta mvurugo mkubwa sana, naye akaanza kuwapiga watu wa jiji, kuanzia mdogo hata mkubwa, na bawasiri+ zikaanza kulipuka juu yao.

  • 1 Samweli 5:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa hiyo wakatuma watu wakawakusanya wakuu wote wa muungano wa Wafilisti na kusema: “Ondoeni sanduku la Mungu wa Israeli, lirudi mahali pake, ili lisiniue mimi na watu wangu.” Kwa maana mvurugo wa kuleta kifo ulikuwa umetokea katika jiji zima;+ mkono wa Mungu wa kweli ulikuwa umekuwa mzito sana huko,+

  • 1 Samweli 7:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Kwa hiyo Wafilisti wakatiishwa, wala hawakuingia tena katika eneo la Israeli;+ na mkono wa Yehova ukaendelea kuwa juu ya Wafilisti siku zote za Samweli.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki