Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 13:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 (kutoka kile kijito cha Nile kilichoko mbele ya Misri hadi kwenye mpaka wa Ekroni upande wa kaskazini,+ ilikuwa ikihesabiwa kuwa ni ya Wakanaani);+ wakuu watano+ wa muungano wa Wafilisti, Wagaza+ na Waashdodi,+ Waashkeloni,+ Wagathi+ na Waekroni;+ na Waavimu.+

  • Waamuzi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti,+ na Wakanaani+ wote, pia Wasidoni+ na Wahivi+ waliokaa katika Mlima Lebanoni+ kutoka Mlima Baal-hermoni+ mpaka maingilio ya Hamathi.+

  • 1 Samweli 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na wale wakuu watano wa muungano+ wa Wafilisti wakaona hayo, nao wakarudi Ekroni siku hiyo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki