Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Acha hasira na uache ghadhabu;+

      Usijionyeshe umewaka hasira ili tu kufanya uovu.+

  • Methali 14:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yule anayekasirika upesi atatenda upumbavu,+ lakini mtu mwenye uwezo wa kufikiri huchukiwa.+

  • Methali 14:29
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Yule ambaye si mwepesi wa hasira ana utambuzi mwingi,+ lakini anayekosa subira anainua upumbavu.+

  • Methali 27:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kuna ukatili wa ghadhabu, pia furiko la hasira,+ lakini ni nani anayeweza kusimama mbele ya wivu?+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki